iqna

IQNA

msikiti mkuu wa cordoba
TEHRAN (IQNA)- Mgogoro kuhusu umiliki wa Msikiti Mkuu wa Crodoba nchini Uhispania unaendelea kutokota baada ya kamati iliyoteuliwa na Baraza la Mji wa Cordoba kupinga hatua ya Kanisa Katoloki kuchukua udhibiti wa msikiti huo.
Habari ID: 3471677    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/17